Hesabu 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 na toleo la nafaka la sehemu moja ya kumi ya kipimo cha unga laini uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya kila mwanakondoo dume; mtavitoa vitu hivyo vikiwa dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza*+ Yehova.
13 na toleo la nafaka la sehemu moja ya kumi ya kipimo cha unga laini uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya kila mwanakondoo dume; mtavitoa vitu hivyo vikiwa dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza*+ Yehova.