Hesabu 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mnapaswa kuwatoa pamoja na matoleo ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta;+ sehemu tatu za kumi kwa ajili ya ng’ombe dume na sehemu mbili za kumi kwa ajili ya kondoo dume mmoja.
20 Mnapaswa kuwatoa pamoja na matoleo ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta;+ sehemu tatu za kumi kwa ajili ya ng’ombe dume na sehemu mbili za kumi kwa ajili ya kondoo dume mmoja.