Hesabu 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na kama matoleo yao ya nafaka+ ya unga laini uliotiwa mafuta mtatoa vipimo vitatu vya sehemu ya kumi kwa ajili ya ng’ombe-dume na vipimo viwili vya sehemu ya kumi+ kwa ajili ya kondoo-dume.
20 Na kama matoleo yao ya nafaka+ ya unga laini uliotiwa mafuta mtatoa vipimo vitatu vya sehemu ya kumi kwa ajili ya ng’ombe-dume na vipimo viwili vya sehemu ya kumi+ kwa ajili ya kondoo-dume.