Hesabu 31:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Kisha kutoka katika nusu hiyo ambayo ni fungu la Waisraeli, Musa alichukua nafsi moja kutoka kwa kila nafsi 50 za wanadamu na za wanyama akawapa Walawi+ waliotimiza majukumu katika hema la Yehova la ibada,+ kama Yehova alivyomwamuru Musa.
47 Kisha kutoka katika nusu hiyo ambayo ni fungu la Waisraeli, Musa alichukua nafsi moja kutoka kwa kila nafsi 50 za wanadamu na za wanyama akawapa Walawi+ waliotimiza majukumu katika hema la Yehova la ibada,+ kama Yehova alivyomwamuru Musa.