Hesabu 31:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Kisha Musa akachukua kutoka katika ile nusu ya wana wa Israeli ile ya kutolewa katika 50, ya binadamu na ya wanyama wa kufugwa, na kuwapa Walawi,+ watunzaji wa wajibu+ wa maskani ya Yehova, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.
47 Kisha Musa akachukua kutoka katika ile nusu ya wana wa Israeli ile ya kutolewa katika 50, ya binadamu na ya wanyama wa kufugwa, na kuwapa Walawi,+ watunzaji wa wajibu+ wa maskani ya Yehova, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.