Kumbukumbu la Torati 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nanyi mtashangilia mbele za Yehova Mungu wenu,+ ninyi na wana wenu na binti zenu na watumishi wenu na vijakazi wenu na Mlawi aliye ndani ya malango yenu, kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nanyi.+ Kumbukumbu la Torati 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jiangalie usije ukamwacha Mlawi+ siku zako zote kwenye nchi yako.
12 Nanyi mtashangilia mbele za Yehova Mungu wenu,+ ninyi na wana wenu na binti zenu na watumishi wenu na vijakazi wenu na Mlawi aliye ndani ya malango yenu, kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nanyi.+