Hesabu 32:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini sisi tutaendelea kuwa tayari kwa ajili ya vita+ na tutakuwa mstari wa mbele mpaka tutakapowafikisha Waisraeli mahali pao, wakati huo watoto wetu watakaa katika majiji yenye ngome, wakiwa salama kutoka kwa wakaaji wa nchi.
17 Lakini sisi tutaendelea kuwa tayari kwa ajili ya vita+ na tutakuwa mstari wa mbele mpaka tutakapowafikisha Waisraeli mahali pao, wakati huo watoto wetu watakaa katika majiji yenye ngome, wakiwa salama kutoka kwa wakaaji wa nchi.