Hesabu 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na kila binti aliye na urithi miongoni mwa makabila ya Waisraeli anapaswa kuolewa na mzao wa kabila la baba yake,+ ili Waisraeli waendelee kumiliki urithi wa mababu zao.
8 Na kila binti aliye na urithi miongoni mwa makabila ya Waisraeli anapaswa kuolewa na mzao wa kabila la baba yake,+ ili Waisraeli waendelee kumiliki urithi wa mababu zao.