Hesabu 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na kila binti atakayepata miliki ya urithi kutoka katika makabila ya wana wa Israeli, anapaswa kuwa mke katika mojawapo ya familia za kabila la baba yake,+ ili wana wa Israeli wapate miliki kila mmoja katika urithi wa mababu zake.
8 Na kila binti atakayepata miliki ya urithi kutoka katika makabila ya wana wa Israeli, anapaswa kuwa mke katika mojawapo ya familia za kabila la baba yake,+ ili wana wa Israeli wapate miliki kila mmoja katika urithi wa mababu zake.