Yoshua 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Yoshua mwana wa Nuni akawaita makuhani na kuwaambia: “Bebeni sanduku la agano, na makuhani saba wabebe pembe saba za kondoo dume na kulitangulia Sanduku la Yehova.”+
6 Basi Yoshua mwana wa Nuni akawaita makuhani na kuwaambia: “Bebeni sanduku la agano, na makuhani saba wabebe pembe saba za kondoo dume na kulitangulia Sanduku la Yehova.”+