Yoshua 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Yoshua mwana wa Nuni akawaita makuhani+ na kuwaambia: “Lichukueni sanduku la agano,+ na makuhani saba wachukue pembe saba za kondoo-dume mbele ya sanduku+ la Yehova.”
6 Basi Yoshua mwana wa Nuni akawaita makuhani+ na kuwaambia: “Lichukueni sanduku la agano,+ na makuhani saba wachukue pembe saba za kondoo-dume mbele ya sanduku+ la Yehova.”