Yoshua 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yoshua akasema: “Ole wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa nini umewaleta watu hawa njia yote hii na kuwavusha Yordani ili tu kututia mikononi mwa Waamori watuangamize? Ni afadhali tungeridhika kubaki ng’ambo ile nyingine ya* Yordani!
7 Yoshua akasema: “Ole wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa nini umewaleta watu hawa njia yote hii na kuwavusha Yordani ili tu kututia mikononi mwa Waamori watuangamize? Ni afadhali tungeridhika kubaki ng’ambo ile nyingine ya* Yordani!