7 Kisha Yoshua akasema: “Ole wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa nini uliwaleta watu hawa njia yote hiyo kuuvuka Yordani, ili tu kututia mkononi mwa Waamori, watuangamize? Laiti tungejichagulia wenyewe tuendelee kukaa ng’ambo ile nyingine ya Yordani!+