Yoshua 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na mara tu aliponyoosha mkono wake, wanajeshi waliokuwa wakivizia wakatoka haraka mahali walipokuwa, wakakimbia kuingia jijini, na kuliteka jiji hilo. Na mara moja wakaliteketeza.+
19 Na mara tu aliponyoosha mkono wake, wanajeshi waliokuwa wakivizia wakatoka haraka mahali walipokuwa, wakakimbia kuingia jijini, na kuliteka jiji hilo. Na mara moja wakaliteketeza.+