31 kama Musa mtumishi wa Yehova alivyowaamuru Waisraeli na kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Sheria+ ya Musa: “Madhabahu ya mawe ambayo hayakuchongwa wala kuguswa na kifaa chochote cha chuma.”+ Na juu yake wakamtolea Yehova dhabihu za kuteketezwa na pia dhabihu za ushirika.+