Yoshua 10:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Yehova akalitia pia jiji hilo na mfalme wake+ mikononi mwa Waisraeli, wakalishambulia na kuwaangamiza wakaaji wote kwa upanga, na hakuna yeyote aliyebaki humo. Wakamtendea mfalme wake kama walivyomtendea mfalme wa Yeriko.+
30 Yehova akalitia pia jiji hilo na mfalme wake+ mikononi mwa Waisraeli, wakalishambulia na kuwaangamiza wakaaji wote kwa upanga, na hakuna yeyote aliyebaki humo. Wakamtendea mfalme wake kama walivyomtendea mfalme wa Yeriko.+