Yoshua 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi wakaja kwa kuhani Eleazari,+ Yoshua mwana wa Nuni, na wakuu na kuwaambia: “Yehova ndiye aliyemwamuru Musa atupe urithi miongoni mwa ndugu zetu.”+ Basi akawapa urithi kati ya ndugu za baba yao kwa agizo la Yehova.+ Yoshua Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 17:4 w07 11/15 12-13 Yoshua Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:4 Mnara wa Mlinzi,11/15/2007, kur. 12-13
4 Basi wakaja kwa kuhani Eleazari,+ Yoshua mwana wa Nuni, na wakuu na kuwaambia: “Yehova ndiye aliyemwamuru Musa atupe urithi miongoni mwa ndugu zetu.”+ Basi akawapa urithi kati ya ndugu za baba yao kwa agizo la Yehova.+