Yoshua 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha wazao wa Yosefu wakasema: “Eneo lenye milima halitutoshi, na Wakanaani wote wanaokaa bondeni,* yaani, wale wanaokaa Beth-sheani+ na miji yake na wale wanaokaa katika Bonde la* Yezreeli,+ wana magari ya vita+ yenye miundu ya chuma.”*
16 Kisha wazao wa Yosefu wakasema: “Eneo lenye milima halitutoshi, na Wakanaani wote wanaokaa bondeni,* yaani, wale wanaokaa Beth-sheani+ na miji yake na wale wanaokaa katika Bonde la* Yezreeli,+ wana magari ya vita+ yenye miundu ya chuma.”*