Yoshua 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wanaume hao wakajitayarisha kwenda kuchora ramani ya nchi, naye Yoshua akawaambia hivi: “Nendeni mkazunguke katika nchi yote, mchore ramani yake na kuniletea habari, nami nitawapa urithi kwa kupiga kura mbele za Yehova hapa Shilo.”+
8 Wanaume hao wakajitayarisha kwenda kuchora ramani ya nchi, naye Yoshua akawaambia hivi: “Nendeni mkazunguke katika nchi yote, mchore ramani yake na kuniletea habari, nami nitawapa urithi kwa kupiga kura mbele za Yehova hapa Shilo.”+