-
Yoshua 18:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Ndipo watu hao wakasimama ili waende, kisha Yoshua akawaamuru+ wale waliokuwa wakienda kuandika vipimo vya ramani vya nchi, akisema: “Nendeni, mtembee katika nchi na kuandika vipimo vyake vya ramani kisha mrudi kwangu, na hapa ndipo nitakapopiga kura+ kwa ajili yenu mbele za Yehova katika Shilo.”+
-