19 Mwishowe wakasema: “Tazama! Kuna sherehe ya Yehova kutoka mwaka mpaka mwaka katika Shilo,+ ambalo liko upande wa kaskazini wa Betheli, kuelekea upande wa mashariki wa njia kuu inayopanda kutoka Betheli kwenda Shekemu+ na kuelekea upande wa kusini wa Lebona.”