Yoshua 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kura ya kwanza ilikuwa ya koo za Wakohathi,+ na Walawi waliokuwa wazao wa kuhani Haruni walipewa majiji 13 kwa kura katika maeneo ya kabila la Yuda,+ kabila la Simeoni,+ na kabila la Benjamini.+
4 Kura ya kwanza ilikuwa ya koo za Wakohathi,+ na Walawi waliokuwa wazao wa kuhani Haruni walipewa majiji 13 kwa kura katika maeneo ya kabila la Yuda,+ kabila la Simeoni,+ na kabila la Benjamini.+