Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 46:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wana wa Lawi+ walikuwa Gershoni, Kohathi, na Merari.+

  • Hesabu 3:27-31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Familia ya Waamramu, familia ya Waishari, familia ya Wahebroni, na familia ya Wauzieli zilitokana na Kohathi. Hizo ndizo zilizokuwa familia za Wakohathi.+ 28 Wanaume wote kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi walikuwa 8,600; jukumu lao lilikuwa kutunza mahali patakatifu.+ 29 Familia za wana wa Kohathi zilipiga kambi upande wa kusini wa hema la ibada.+ 30 Mkuu wa ukoo* wa familia za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli.+ 31 Majukumu yao yalikuwa kutunza Sanduku la Agano,+ meza,+ kinara cha taa,+ madhabahu,+ vyombo+ vilivyotumiwa katika utumishi wa mahali patakatifu, pazia,+ na utumishi wote uliohusiana na vitu hivyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki