Yoshua 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ikiwa tulijijengea madhabahu ili tuache kumfuata Yehova na kutoa juu yake dhabihu za kuteketezwa, matoleo ya nafaka, na dhabihu za ushirika, Yehova atatuadhibu.+
23 Ikiwa tulijijengea madhabahu ili tuache kumfuata Yehova na kutoa juu yake dhabihu za kuteketezwa, matoleo ya nafaka, na dhabihu za ushirika, Yehova atatuadhibu.+