Yoshua 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kama ilikuwa ni kujijengea madhabahu ili tugeuke tusimfuate Yehova, na kama tulitaka kutoa matoleo ya kuteketezwa na matoleo ya nafaka juu yake,+ na kama tulitaka kutoa dhabihu za ushirika juu yake, Yehova mwenyewe atachunguza;+
23 Kama ilikuwa ni kujijengea madhabahu ili tugeuke tusimfuate Yehova, na kama tulitaka kutoa matoleo ya kuteketezwa na matoleo ya nafaka juu yake,+ na kama tulitaka kutoa dhabihu za ushirika juu yake, Yehova mwenyewe atachunguza;+