27 bali iwe ushahidi kati yetu na ninyi+ na wazao wetu kwamba tutamtumikia Yehova kwa dhabihu zetu za kuteketezwa, na matoleo yetu, na dhabihu zetu za ushirika,+ ili wana wenu wasiwaambie hivi wana wetu wakati ujao: “Hamna ushirika wowote na Yehova.”’