27 bali iwe ushahidi kati yetu+ na ninyi na vizazi vyetu baada yetu kwamba tutafanya utumishi wa Yehova mbele zake kwa matoleo yetu ya kuteketezwa na dhabihu zetu za ushirika,+ ili wana wenu wasiwaambie hivi wana wetu siku fulani wakati ujao: “Ninyi hamna fungu lolote katika Yehova.”’