6 Na hapo mtaleta matoleo yenu ya kuteketezwa na dhabihu+ zenu na sehemu zenu za kumi+ na mchango wa mkono wenu+ na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na wa kundi lenu.+
27 Nawe utatoa matoleo yako ya kuteketezwa,+ nyama na damu,+ juu ya madhabahu ya Yehova Mungu wako; na damu ya dhabihu zako itamiminwa juu ya madhabahu ya Yehova+ Mungu wako, bali nyama unaweza kula.