Waamuzi 1:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa hiyo Waamori hawakukubali kutoka kwenye Mlima Heresi, na Aiyaloni,+ na Shaalbimu.+ Lakini watu wa nyumba ya Yosefu walipopata nguvu zaidi, waliwatumikisha.
35 Kwa hiyo Waamori hawakukubali kutoka kwenye Mlima Heresi, na Aiyaloni,+ na Shaalbimu.+ Lakini watu wa nyumba ya Yosefu walipopata nguvu zaidi, waliwatumikisha.