31 Ndipo Yoashi+ akawaambia watu wote waliomkabili, “Je, ni lazima mumtetee Baali? Je, ni lazima mumwokoe? Yeyote anayemtetea anapaswa kuuawa asubuhi hii.+ Ikiwa yeye ni mungu, acheni ajitetee mwenyewe,+ kwa sababu mtu fulani amebomoa madhabahu yake.”