19 Gideoni na wale wanaume 100 waliokuwa pamoja naye wakaja kwenye ukingo wa kambi mwanzoni mwa kesha la katikati ya usiku, baada tu ya askari walinzi kuanza zamu. Wakazipiga zile pembe+ na kuivunjavunja ile mitungi mikubwa waliyokuwa wamebeba mikononi mwao.+