Waamuzi 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini mke wake akamwambia, “Kama Yehova angetaka kutuua, hangekubali dhabihu ya kuteketezwa+ na toleo la nafaka kutoka mikononi mwetu, naye hangetuonyesha mambo haya yote, wala hangetuambia mambo haya yote.”
23 Lakini mke wake akamwambia, “Kama Yehova angetaka kutuua, hangekubali dhabihu ya kuteketezwa+ na toleo la nafaka kutoka mikononi mwetu, naye hangetuonyesha mambo haya yote, wala hangetuambia mambo haya yote.”