Waamuzi 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini mke wake akamwambia: “Ikiwa Yehova alitaka tu kutuua, basi hangekubali toleo la kuteketezwa na toleo la nafaka kutoka mkononi mwetu,+ naye hangetuonyesha mambo haya yote, naye kufikia sasa hangetuacha tusikie jambo lolote kama hili.”+
23 Lakini mke wake akamwambia: “Ikiwa Yehova alitaka tu kutuua, basi hangekubali toleo la kuteketezwa na toleo la nafaka kutoka mkononi mwetu,+ naye hangetuonyesha mambo haya yote, naye kufikia sasa hangetuacha tusikie jambo lolote kama hili.”+