Waamuzi 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini wakamwambia, “Tumekuja kukukamata* ili tukutie mikononi mwa Wafilisti.” Samsoni akawaambia, “Niapieni kwamba ninyi hamtanidhuru.”
12 Lakini wakamwambia, “Tumekuja kukukamata* ili tukutie mikononi mwa Wafilisti.” Samsoni akawaambia, “Niapieni kwamba ninyi hamtanidhuru.”