Waamuzi 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha Delila akamwambia Samsoni, “Mpaka sasa umenihadaa na kunidanganya.+ Niambie unaweza kufungwa kwa kitu gani?” Akamjibu, “Kwa kufuma vishungi saba vya nywele zangu kwa uzi wa mtande.”
13 Kisha Delila akamwambia Samsoni, “Mpaka sasa umenihadaa na kunidanganya.+ Niambie unaweza kufungwa kwa kitu gani?” Akamjibu, “Kwa kufuma vishungi saba vya nywele zangu kwa uzi wa mtande.”