Waamuzi 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha Delila akamwambia Samsoni: “Mpaka sasa umenichezea, ukaniambia uwongo.+ Niambie unaweza kufungwa na kitu gani.”+ Ndipo akamwambia: “Ukifuma hii misuko saba ya nywele za kichwa changu kwa uzi wa mtande.”+
13 Kisha Delila akamwambia Samsoni: “Mpaka sasa umenichezea, ukaniambia uwongo.+ Niambie unaweza kufungwa na kitu gani.”+ Ndipo akamwambia: “Ukifuma hii misuko saba ya nywele za kichwa changu kwa uzi wa mtande.”+