Waamuzi 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kisha Delila akamwambia hivi kwa sauti kubwa: “Wafilisti wamekuja kukushambulia, Samsoni!” Ndipo akaamka kutoka usingizini na kusema, “Nitatoka nje kama awali+ na kujinasua.” Lakini hakujua kwamba Yehova alikuwa amemwacha.
20 Kisha Delila akamwambia hivi kwa sauti kubwa: “Wafilisti wamekuja kukushambulia, Samsoni!” Ndipo akaamka kutoka usingizini na kusema, “Nitatoka nje kama awali+ na kujinasua.” Lakini hakujua kwamba Yehova alikuwa amemwacha.