Waamuzi 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi akasema: “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Naye akaamka kutoka katika usingizi na kusema: “Nitatoka nje kama safari zile nyingine+ na kujitikisa niwe huru.” Naye hakujua kwamba Yehova alikuwa amemwacha.+
20 Basi akasema: “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Naye akaamka kutoka katika usingizi na kusema: “Nitatoka nje kama safari zile nyingine+ na kujitikisa niwe huru.” Naye hakujua kwamba Yehova alikuwa amemwacha.+