Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na watu wenye kuvizia walikuwa wameketi katika chumba cha ndani cha mwanamke huyo,+ naye akaanza kumwambia: “Wafilisti+ wako juu yako, Samsoni!” Ndipo akazikata kamba hizo vipande viwili, kama vile nyuzi za kitani zilizosokotwa zinavyokatika vipande viwili zinaponusa harufu ya moto.+ Na nguvu zake hazikujulikana.+

  • Waamuzi 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi Delila akachukua kamba mpya akamfunga nazo, akamwambia: “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Wakati huo wote wale watu wenye kuvizia walikuwa wameketi katika chumba cha ndani.+ Ndipo akazikata vipande viwili kutoka mikononi mwake kama uzi.+

  • Waamuzi 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi akazikaza kwa msumari, kisha akamwambia: “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!”+ Ndipo akaamka kutoka katika usingizi wake, akaung’oa ule msumari wa wafumaji na ule uzi wa mtande.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki