13Basi Yoshua alikuwa mzee, amesonga katika miaka.+ Kwa hiyo Yehova akamwambia: “Wewe mwenyewe umezeeka na kusonga katika miaka, na sehemu kubwa ya nchi bado haijamilikiwa.+
4 Lakini baba yake na mama yake hawakujua kwamba jambo hilo lilitoka kwa Yehova,+ kwamba alikuwa akitafuta nafasi ya kuwapiga Wafilisti, kwa kuwa wakati huo hasa Wafilisti walikuwa wakitawala juu ya Israeli.+