Waamuzi 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kijana huyo akaondoka katika jiji la Bethlehemu katika nchi ya Yuda ili atafute mahali pengine pa kuishi. Alipokuwa akisafiri, alifika katika eneo lenye milima la Efraimu, katika nyumba ya Mika.+
8 Kijana huyo akaondoka katika jiji la Bethlehemu katika nchi ya Yuda ili atafute mahali pengine pa kuishi. Alipokuwa akisafiri, alifika katika eneo lenye milima la Efraimu, katika nyumba ya Mika.+