Waamuzi 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na mtu huyo akaondoka jiji la Bethlehemu katika Yuda ili akae kwa muda mahali popote ambapo angepata makao. Baadaye alipokuwa akienda zake akaja katika eneo lenye milima la Efraimu mpaka kwenye nyumba ya Mika.+
8 Na mtu huyo akaondoka jiji la Bethlehemu katika Yuda ili akae kwa muda mahali popote ambapo angepata makao. Baadaye alipokuwa akienda zake akaja katika eneo lenye milima la Efraimu mpaka kwenye nyumba ya Mika.+