Waamuzi 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na baba zao au ndugu zao wakija kutulalamikia, tutawaambia, ‘Tutendeeni kwa fadhili kwa niaba yao, kwa sababu tulipoenda vitani hatukuweza kupata mke kwa ajili ya kila mmoja wao,+ nanyi hamngeweza kuwapa wake na kuepuka hatia.’”+
22 Na baba zao au ndugu zao wakija kutulalamikia, tutawaambia, ‘Tutendeeni kwa fadhili kwa niaba yao, kwa sababu tulipoenda vitani hatukuweza kupata mke kwa ajili ya kila mmoja wao,+ nanyi hamngeweza kuwapa wake na kuepuka hatia.’”+