22 Na itatukia kwamba baba zao au ndugu zao wakija kuendesha kesi juu yetu, sisi pia tutawaambia hivi, ‘Tupeni sisi kibali kwa ajili yao, kwa sababu hatukumchukulia kila mmoja mke wake kwa vita,+ kwa maana wala wakati huu si ninyi mliowapa wao kwamba muwe na hatia.’”+