1 Samweli 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Hana akamwambia, “Sivyo, bwana wangu! Mimi ni mwanamke mwenye mkazo mkubwa sana;* sijanywa divai wala kinywaji chochote chenye kileo, bali ninaimwaga nafsi* yangu mbele za Yehova.+ 1 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:15 w07 3/15 16; w01 2/1 20 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:15 Mnara wa Mlinzi,3/15/2007, uku. 162/1/2001, kur. 20-21
15 Ndipo Hana akamwambia, “Sivyo, bwana wangu! Mimi ni mwanamke mwenye mkazo mkubwa sana;* sijanywa divai wala kinywaji chochote chenye kileo, bali ninaimwaga nafsi* yangu mbele za Yehova.+