1 Samweli 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wafilisti wakawaita makuhani na wabashiri,+ wakawauliza: “Tulifanyie nini Sanduku la Yehova? Tuambieni jinsi tunavyopaswa kulirudisha mahali pake.”
2 Wafilisti wakawaita makuhani na wabashiri,+ wakawauliza: “Tulifanyie nini Sanduku la Yehova? Tuambieni jinsi tunavyopaswa kulirudisha mahali pake.”