1 Samweli 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nao Wafilisti wakawaita makuhani na waaguzi,+ wakisema: “Tulifanyie nini sanduku la Yehova? Tuambieni tunapaswa kulirudisha mahali pake likiwa pamoja na nini.”
2 Nao Wafilisti wakawaita makuhani na waaguzi,+ wakisema: “Tulifanyie nini sanduku la Yehova? Tuambieni tunapaswa kulirudisha mahali pake likiwa pamoja na nini.”