1 Samweli 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Walawi+ wakalishusha Sanduku la Yehova na sanduku lililokuwa kando yake ambalo lilikuwa na vile vitu vya dhahabu, wakaviweka juu ya lile jiwe kubwa. Watu wa Beth-shemeshi+ wakamtolea Yehova dhabihu za kuteketezwa na dhabihu nyingine siku hiyo.
15 Walawi+ wakalishusha Sanduku la Yehova na sanduku lililokuwa kando yake ambalo lilikuwa na vile vitu vya dhahabu, wakaviweka juu ya lile jiwe kubwa. Watu wa Beth-shemeshi+ wakamtolea Yehova dhabihu za kuteketezwa na dhabihu nyingine siku hiyo.