15 Nao Walawi+ wakalishusha sanduku la Yehova na lile sanduku lililokuwa pamoja nalo, ambamo ndani yake mlikuwa vile vyombo vya dhahabu, wakaliweka juu ya lile jiwe kubwa. Na watu wa Beth-shemeshi+ wakatoa matoleo ya kuteketezwa, wakaendelea kumtolea Yehova dhabihu siku hiyo.