2 Samweli 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Daudi alipoambiwa habari hiyo, mara moja akawatuma wanaume fulani waende kukutana nao, kwa sababu watumishi hao walikuwa wameaibishwa sana; mfalme akawaambia: “Kaeni Yeriko+ mpaka ndevu zenu zitakapoota, kisha mrudi.”
5 Daudi alipoambiwa habari hiyo, mara moja akawatuma wanaume fulani waende kukutana nao, kwa sababu watumishi hao walikuwa wameaibishwa sana; mfalme akawaambia: “Kaeni Yeriko+ mpaka ndevu zenu zitakapoota, kisha mrudi.”